Recent content by MarkD

  1. M

    Nafasi za kazi ya marketing officer na operations officer

    Habari, Tafadhali pokea kiambatishi kifuatacho. Kwa Mawasiliano zaidi usisite kutupigia 0741266566 au kufika ofisini kwetu ghorofa ya 20 jengo la PSSSF Millenium Towr II. Karibuni sana
  2. M

    KAZI

    Asante.
  3. M

    KAZI

    Asante kwa comment yako, umewaza mbali sana, ila ni maamuzi ya kampuni kutumia njia za mawasiliano inazopenda bila kupangiwa na mtu. Pia kama wewe ni Mtaalam ni fursa kwako kuitafuta kampuni na kuishauri namna bora ya kufanya mawasiliano kwa umma kwa malipo. Karibu tupo wazi kwa huduma za...
  4. M

    KAZI

    Usipotoshe Watu, yawezekana hukua na sifa za kazi zinazotangazwa, Vijana wengi wamepata kazi kupitia matangazo haya. Tokea mwaka 2016 ninapost nafasi za kazi mbalimbali na zaidi ya vijana 64 wanaendelea na kazi - karibu tutembelee PSSSF Millenium Tower II Ghorofa ya 20 ujionee, ongeza sifa zako...
  5. M

    KAZI

    et eti!!!
  6. M

    KAZI

    Sawa asante.
  7. M

    KAZI

    Continous itakubana muda.
  8. M

    KAZI

    Habari, Kampuni ya Affluence Express Ltd iliyopo Dar Es Salaam na inayotoa huduma za Usafirishaji Vifurushi na Mizigo ina nafasi 3 kwa Vijana wa Kitanzania kama Ifuatavyo;- 1. Operations Officer (1) Sifa Kuu awe amesomea mambo yanayohusiana na Usafirishaji 2. Sales & Marketing Officer (1) Sifa...
  9. M

    NAFASI 2 ZA KAZI YA RIDERS

    Affluence Express Ltd ni Kampuni inayotoa huduma za kusafirisha vifurushi na mizigo Tanzania, ipo Ghorofa namba 20 jengo la PSSSF Millennium Tower II Kijitonyama - Dar Es Salaam. Tuna karibisha maombi ya kazi ya Riders kama kiambatishi cha tangazo kinavyojieleza. Kwa mawasiliano zaidi usisite...
  10. M

    Nafasi ya kazi ya afisa mauzo na masoko

    Habari, Tafadhali pokea kiambatishi chenye tangazo la nafasi ya kazi tajwa.
  11. M

    Vacancy position for training coordinator

  12. M

    Nafasi ya muda ya Market Researcher

    Habari, Nahitaji Kijana (Kiume/Kike) anayeweza kufanya market research. Ni kazi ya siku 5 (wiki moja tu Juma tatu - Ijumaa tarehe 8 - 12 Julai 2024)) kwa malipo ya kutwa + nauli. Tupo Dar Es Salaam. Nitafute kwa 0712066064 (Kwanama).
  13. M

    Nafasi ya kazi

    Kampuni ya affluence training ltd inahitaji vijana wawili (2) [wakike au wakiume] kufanya kazi kwenye idara ya masoko - kazi ya kupiga simu kuwasiliana na wateja juu ya huduma za kampuni. Sifa awe na elimu kuanzia cheti (certificate), diploma na kuendelea, awe na uwezo wa kushawishi wateja...
  14. M

    2 Intern Positions

    2 Interns are needed for the period of 2 months shall be dealing with sales of training consultancy services with daily fixed allowance and commission on sales. Kindly reach us on 0712066064 or visit our offices located at 2nd Floor, Jannat Plaza - Mwananyamla Komakoma Dar Es Salaam. This...
  15. M

    Vacancies for training sales executives

    Wanaohitaji ombeni, hizo comments hazina ukweli wowote, we are legit na tumeweka anuani za ofisi zetu, mwenye wasiwasi aje ofisini. Ukiangalia posts zetu tokea 2012 tumeweza kusaidia Watanzania zaidi ya 126 hadi sasa kupata ajira na hususani Vijana wameanzia kazi kwetu na baadhi baada ya kupata...
Back
Top Bottom