SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE.
. Nilimtazama kwa kukata tamaa, kisha nikamfukuza chumbani kwangu, nikimwambia nataka kulala.
“Usikonde shoga, nikirudi keshokutwa nitakukatia na wewe kidogo dogo, si unajua tena?” Aliniambia wakati akitoka. Nilimsukuma nje na kufunga mlango wangu.
Mungu wangu...