Mbona Mimi nimeulizia halmashauri kwangu wameniambia Uhamisho wa kubadilishana upo kama kawaida ila ule wa mkato yaan kutumia hela ,cheti cha ndoa hakuna kwa sasa
Ni mwl wa shule ya msingi iliyoko nzega Tabora natafuta mwl wa kubadilishana toka
Rungwe
Mbozi
Kyela
Mbeya mjini
Mbeya vijijini
Mbalali aliyetayari tuwasliane 0786960626
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.