Recent content by Mariam Peter

  1. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Jipatie taa za solar model mbalimbali kwa bei nafuu

    Luke Light Available Portable & Flexible Price = 140,000 per Box, 5000 per piece Kwenye box zinakaa 40 Location: Currently in Korogwe ila nakufikishia kokote. Waranty: Mwaka mmoja.
  2. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Majiko Imara (Jikokoa) Yanapatikana Hapa.

    Napatikana Dar na Tanga.
  3. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Majiko Imara (Jikokoa) Yanapatikana Hapa.

    Hapana. Kama utakua unaongeza mara kwa mara kutakua haina haja ya jiko kama hili. Hili jiko kutokana na kushika moto kwa haraka hata upishi wake hua haraka pia. Yaani inatakiwa uwe umeandaa unachotaka kupika kabisa kabla haujaliwasha tofauti na majiko ya kawaida ambapo mpishi huweza kuandaa...
  4. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Majiko Imara (Jikokoa) Yanapatikana Hapa.

    Kama unavyoiona sehemu yake yakuweka mkaa ni ndogo kwaiyo linatumia kiasi cha mkaa kidogo mno.
  5. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Majiko Imara (Jikokoa) Yanapatikana Hapa.

    Nichek kwenye namba yangu boss.
  6. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Majiko Imara (Jikokoa) Yanapatikana Hapa.

  7. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Majiko Imara (Jikokoa) Yanapatikana Hapa.

  8. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Majiko Imara (Jikokoa) Yanapatikana Hapa.

    Originally yametumiwa sana Kenya, na yanazalishwa huko pia. So usishangae kwanini kwenye boksi imeandikwa gharama ya mkaa ni Shilingi 50. Pia ikionyesha kwamba kutokana na kutumia jikokoa unaweza okoa mpaka shilingi 18,000. Kwa Tanzania inamaanisha unaweza kuokoa zaidi ya shilingi 360,000/=...
  9. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Majiko Imara (Jikokoa) Yanapatikana Hapa.

    - Warranty ya mwaka mmoja. - Linatumia nusu ya mkaa wa kwenye jiko la kawaida. - Imara linadumu kwa zaidi ya miaka 4. - Linashika moto kwa haraka. - Price = 130,000 Tshs. - Free Delivery. - 0688006640
  10. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Jipatie taa za solar model mbalimbali kwa bei nafuu

    Habari, Nawaletea hii fursa kutoka katika kampuni ya Solar Sister. Tunahitaji wajasiriamali ambao watakua wanasambaza bidhaa za Sola Sister maeneo waliyopo. Huyu mjasiriamali atakua ananunua taa za sola kutoka kwa BDA kwa gharama ya chini kisha yeye ataziuza kwa wateja kwa kiasi ambacho...
  11. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Jipatie taa za solar model mbalimbali kwa bei nafuu

    Philips Lifelight 110 lm IP65 Ina solar panel yake Ina uwezo wa kuwaka mpaka saa 20 USB port ya kuchajia simu Battery laweza kubadilishika Garantii ya mwaka 1 Bei: 40,000 NB. Bei inapungua kuanzia 5
  12. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Jipatie taa za solar model mbalimbali kwa bei nafuu

    Solar Lantern S100 Ina uwezo wa kuwaka mpaka muda wa saa 8 Garantii ya mwaka 1 Unapata na panel yake Unapata adapta za kuchajia simu Bei ni 25,000 Ukinunua kuanzia 5 bei inapungua.
  13. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Jipatie taa za solar model mbalimbali kwa bei nafuu

    Philips Solar Equip Lifelight Home USB port ya kuchajia Ina uwezo wa kuwaka mpaka saa 32 Unapata na paneli yake Waya mrefu wa mita 5 Garantii ya mwaka 1 Bei: 100,000 NB. Kuanzia taa 5 bei inapungua
  14. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Jipatie taa za solar model mbalimbali kwa bei nafuu

    Samahani kwa jibu lililochelewa. Hapana kama hii haipo. Brand tulizonazo ni Philips, Sunking na D.light.
  15. Mariam Peter

    JamiiForums Tanzania Jipatie taa za solar model mbalimbali kwa bei nafuu

    Solar Lantern S30 Inadumu mpaka saa 12. Inachajiwa kwa jua. Warranty ya mwaka mzima. Adjustable handle. Bei ni 16,000Tsh (Reja reja)
Back
Top Bottom