huyo mzee amekosea step. Labda angetokea pande za kati ambapo bado watu wanasujudu wizi wa mfumo tawala na chama chake. Kwa alichokifanya Ole, nikudhalilisha utu na heshima yetu Wamasai. Anastahili alichokipata. Rushwa ni adui wa haki na pesa sio kila kitu katika maisha. Pia kuwa ndumilakuili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.