Vizuri, natamani sana kuchangia mada hi kwa umakini mkubwa, mosi, kuondoa dhihaka na kuijenga familia murua. Sasa hebu nielekeze kwanza unaposema ni pm , nielekeze namna ya kufika kwanza hapo pm ndipo sasa tuanze salsafa hi mubashara.
Maisha na mahusiano yana changamoto ya hali ya juu mno, utapata, lakini yataka akili na moyo, ambayo yatafanya moyo wa wawili nyie kufurahia umoja wenu, kujikabidhisha' nae kujikabidhisha. Utapata jitihada muhimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.