hahaaa haaa mkuu V8 ya 2014 ni zaidi ya hiyo yenyewe msrp ni 79605 USD (131.348,250 Tshs) so wakiamua kuchukua sequoia 2014 watakuwa wamejishusha kitu ambacho sidhani km wanaweza kufanya
wakuu naomba kwa mwenye information anijuze hivi hii SUV kuifikisha hapa Bongo inakuwa kiasi gani? ikiwa msrp (manufacturer's suggested retail price) ni 60,795 USD (100,311,750 Tshs).
please..mwenye uzoefu au alishatumia hii kitu anaweza akanisaidia mambo haya: quality ya picha, kinafanya kazi kwenye operating system yoyote, ni kwa digital au analogue channels....sijapenda kuwauliza wenyewe cause nataka uhakika wa aliyetumia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.