Hivi huyu tido ni nani kama ni hicho cheo cheo ni dhamana na wala si kama sereksli ilivyofanya jamanii hivi kuna serikali kweli au ni serekali ya kulindana viongozi kwa viongozi kwa hiyo inamaana sheria tumetungiwa sisi tusio na hela wala vyeo serikalini? Sheria ni za wanyonge sio" Kosa...
kama uliotea mzee haki haijatendeka kabisa naisistoshe ndugu wa mshitakiwa wamewapiga waandishi wa habari tena ndani ya mahakama kuuuu ya tanzania hiviiii hiii ni nchi au kwa kweli tuna takiwa kuamka dito alistaili kunyongwa kama ni hiv waachiwe na wengine kama wa kina babu seya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.