Ndugu yangu, sensa hii ni kwa ajili ya maendeleo yako na mimi, na jamii nzima kwa ujumla. Huduma za kijamii kama vile hospitali, shule n.k. haziwezi kufika katika eneo lako kama serikali haina taarifa na idadi ya watu na makazi yao katika jamii yako.
Kwa Hiyo ni muhimu kuhesabiwa katika eneo...
Jumanne Agosti 23 2022, itakuwa ni siku ya Sensa ya sita (6) tangu Tanzania kupata uhuru. Sensa hii itafanyika kwa mujibu wa sheria ya Takwimu sura Na. 351 kifungu cha 6(2)(a).
Muda sahihi wa watu na makazi yao kuhesabiwa ni usiku wa kuamkia tarehe 23 Agosti 2022.
KUMB: Taarifa zote zitakazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.