IRDP KUNA KAMPUNI NYINGI SANA NA HATA PROJECTS PIA AMBAZO WANATUMIA RASLIMALI ZA CHUO NA PIA MUDA WA MWAJIRI KATIKA KUFANYA MAMBO BINAFSI. KUNDI KUNDI LA WAFANYAKAZI MUDA WA KAZI WAO WANASIMAMIA BIASHARA ZAO WAKATI WANGETAKIWA KUWA KAZINI. NAOMBA KUTAJA:
1. OWEKO inajumuisha akina Zilihona...
nimekubali kuwa jf ni mahala ambapo wanazuoni wanapata fursa ya kuwasilisha mawazo yao kwa uhuru mkubwa sana na bila woga wa aina yeyote ile. Awali ya yote nampongeza muanzilishi wa post hii na wengine wote waliochangia katika post hii. Hii inaonyesha kuwa watanzania tumefika mahali pazuri sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.