Recent content by Manyukikishompendo

  1. M

    KERO Wananchi walia maombi ya Passport kukwama Uhamiaji Kibaha kwa Zaidi ya Miezi Sita: Server na Umeme zatajwa sababu

    Wananchi waomba Serikali kuchukua hatua juu ya ofisi ya uhamiaji wilayani Kibaha mjini kwa kukwama kwa maombi ya passport kwa miezi kadhaa iliyopita, maafisa wakidai ni tatizo la kimfumo na hawasemi lini litakuwa sawa hivo linaleta ukakasi kwa wananchi ambao wamefanya maombi ya passport waomba...
  2. M

    KERO Wananchi walia maombi ya Passport kukwama Uhamiaji Kibaha kwa Zaidi ya Miezi Sita: Server na Umeme zatajwa sababu

    Ni muda mrefu tangia wananchi hao kufanya maombi ya passport pale uhamiaji kibaha mjini inakaribia mwaka wananchi hawajapata passport za na hawajui wapi waende ili wapate haki zao ikiwa kama inchi yenye kupenda maendeleo ya wananchi wake na maendeleo ya taifa si vyema kuona mpaka sasa ili swala...
  3. M

    KERO Upatikanaji wa Passport kwenye ofisi ya Uhamiaji pale Kibaha Mjini bado ni changamoto

    Wanatoaje pesa mara2 ikiwa makosa ni ya idara husika imekaaje hapo
  4. M

    KERO Upatikanaji wa Passport kwenye ofisi ya Uhamiaji pale Kibaha Mjini bado ni changamoto

    Wananchi waomba Serikali kuchukua hatua juu ya ofisi ya uhamiaji wilayani Kibaha mjini kwa kukwama kwa maombi ya passport kwa miezi kadhaa iliyopita, maafisa wakidai ni tatizo la kimfumo na hawasemi lini litakuwa sawa hivo linaleta ukakasi kwa wananchi ambao wamefanya maombi ya passport waomba...
  5. M

    KERO Upatikanaji wa Passport kwenye ofisi ya Uhamiaji pale Kibaha Mjini bado ni changamoto

    Ni muda sasa tangu watu wafanye maombi ya passport lakini hadi sasa hawajapata hizo passport. Raia kila wakienda wanaambiwa changamoto ni mtandao. Ni miezi 6 sasa na wengine wanaambiwa wafanye maombi upya. Je ni haki? Uhamiaji wana matawi tofauti nchini. Kwanini wasiwape transfer waende...
Back
Top Bottom