Na pia mahari hutolewa na Baba nasio kijana muoaji. Hivyo Baba huwa na jukumu la kumtafutia mke kijana wake na pia huwa anajukumu la kumlipia mahari. Hii ndio mila yetu sisi Wamanyema.
Ni marufuku kijana kutafuta mke na kumposa. Ni lazima mke wa kwanza atafutwe na Baba na Mahari alipe Baba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.