Habari za sikukuu ngugu ,jamaa na marafiki kwa jumla !Naomba mnisaidie kitu kimoja nilikua najaza form ya scholership lakini kuna kipengele kimegoma ambacho ni country residence kinagoma nikijaza nakuta hakikubali naomba msaada kwa yeyote anayetambua asante.
Natafuta kazi nimesomea WATER SUPPLY AND SANITATION ENGINEERING kwa ngazi ya Diploma .
Nina uwezo wa kufanya kazi kwenye miladi ya maji pamoja na ujenzi #0714067351 .
Ndugu usiache kazi huo mshahara mkubwa sana .Huoni wanafunzi wanahitimu chuo kikuu wanaomba nafasi za kujitolea ,utajilaumu usifanye hivyo nakushauli komaa huku ukitafuta kazi nyingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.