Recent content by manjasa

  1. M

    Je ni kweli form five second selection 2017/18 imetangazwa?

    shukran joh uvumilivu unaitajika kumbe hapo
  2. M

    Je ni kweli form five second selection 2017/18 imetangazwa?

    unauhakika gan Mkuu naomba maelezo plz na wote walioorozeshwa wote watapangiwa shule?
  3. M

    Je ni kweli form five second selection 2017/18 imetangazwa?

    Kwa mwenye ufahamu wa second selection 2017/2018 Zinatoka lini naomba kufahamishwa muda gani Na je kwa ile orodha yote walioorodheshwa kwamba "wanafunzi watakaochaguliwa awamu ya pili kwenda kidato cha tano 2017/2018" wote watachaguliwa? Msaada jamani, napenda kujua Lin zinatoka au kwenye hayo...
  4. M

    Majina ya second selection yanapangiwa shule lini?

    Jaman kwa anaefahamu second selection mwaka huu zinatoka muda gan na je kwa walio orodheshwa kwenye orodha ya wanafunzi watakao chaguliwa awam ya pili na tamisemi wote tutapangiwa shule? Na ni muda gan kwenu wana jukwaa naomba usaidizi ili nifaham maan me nashindwa kuelewa Nawasilisha .. Sent...
  5. M

    Naomba ushauri kwa haya matokeo

    OK nashukulu kwa mawazo yako mkuu[emoji120] [emoji120] [emoji120]
  6. M

    Naomba ushauri kwa haya matokeo

    Naweza kuanza diploma mkuu na chuo gan cha grmnt
  7. M

    Naomba ushauri kwa haya matokeo

    Habari za majukumu wakuu Nahitaji msaada toka kwenu kwa haya matokeo History D Kiswahili D English C Geography C Chemistry D Civics. C Physics C Bios C B/mathematics D Je? Kuna kusubiri second selection? Ingawa Jina langu lipo kwenye second selection na kweny combination nimeandikiwa arts and...
Back
Top Bottom