Recent content by Mangida one

  1. M

    Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

    Mwiraqw bwege km wewe sijawahi kumwona,double standards ndio tatizo,ccm wanafanya mikutano,chadema no.Hofu ya nini!?.
  2. M

    Kwanini inakuwa vigumu kuitawala Tanzania?

    Kwasababu ya ujinga wa watanzania
  3. M

    Mtake msitake CCM imejaa viongozi waongo

    Ninaamini ccm inatawala under the expense of the ignorance of Tanzanian's,haya ni ya mpito ipo siku yaja ambayo ccm itafutika jumla.Katiba mpya ni muhimu kwa maslahi mapana ya taifa letu,sio Mali ya chama chochote cha siasa,kwani iliyopo ina matundu mengi ambayo ccm inanufaika nayo.
  4. M

    Mtake msitake CCM imejaa viongozi waongo

    Muda wote wanajadili kuhusu Mbowe badala ya kujibu
  5. M

    Mtake msitake CCM imejaa viongozi waongo

    Jikite kwenye mada acha kudiverge
  6. M

    Mtake msitake CCM imejaa viongozi waongo

    Hiyo ahadi ya milioni 50 kila kijiji ilitolewa na ccm,so,wako answerable
  7. M

    Mtake msitake CCM imejaa viongozi waongo

    Jikite kwenye mada
  8. M

    Mtake msitake CCM imejaa viongozi waongo

    Weka ushahidi Mbowe akiwatukana wasukma,nje na hapo hizo ni cheap politics
  9. M

    Mdude Nyagali, shikilia hapo hapo na usipoe

    Unamsifia marehemu kwa tabia zake za hovyo sio!?
  10. M

    Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa

    Wewe ni zwazwa,endelea kuilinda legacy ya marehemu wenu
Back
Top Bottom