Habari za mchana wana jf
Nipo Singida mjn natafuta soko la mifupa ya wanyama kuna wakati nilisikia arusha wananunua sana kwa ajili ya kutengeneza vyombo km sahani .kwa yeyote anayefahamu mahali penye soko tujulishane hapa jukwani.
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za jumapili wakuu!
Nipo arusha mjin natafuta Bitcoin za kununua, kiasi kidogo kwa Leo za sh 40000 malipo kwa empesa
Mwenye kuuza anitafute kwa Namba 0755710560
Heshima zenu wakuu,
Nipo Arusha mjini najishughilisha na uzambazaji wa vyakula vya mifugo, nimeweka Uzi huu ili tuweze kupeana taarifa za bei na upatikanaji wa Pumba za Mahindi ktk sehemu mbalimbali na Kama unazo tuweze kufanya biashara.
Nicheki katika No 0755710560
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.