Recent content by mangel

  1. M

    Simu za mkopo ni zaidi ya kausha damu njoo nikupe simu bei ya bure

    Kweli line ya biashara umemuachia mtoto? Au ndo junia amekataaa kukupa simu anachezea game..[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Anyway nataka sana hiyo yenye 128gb Kwa 4 au 6
  2. M

    Simu za mkopo ni zaidi ya kausha damu njoo nikupe simu bei ya bure

    Hakika miss natafuta umekuwa mvuragizi sana, wewe was kutuanziashia Uzi was biashara na kututelekeza? Yeyote aliyenunua simu Kwa miss natafuta aniambieeeeeee! Mbona kama vile ametupiga swaga etiiiiii miss chagga Miss Natafuta
  3. M

    Simu za mkopo ni zaidi ya kausha damu njoo nikupe simu bei ya bure

    Nimekutafuta weeeee but simu Yako umei-divert,naambiwa simu uliyoiunganisha nayo Haina Salio so siwezi kuongea! Lakini kubwa kuliko ninataka simu seriously! Nicheck tafadhali...
  4. M

    Freezer hii hapa bei kiduchu

    Mkuu kama upo serious chukua 500k chap Kwa haraka
Back
Top Bottom