wandugu UBAGUZI ni ishara ya udhaifu! udhaifu waweza kuwa wa aina nyingi.
Lakini cha msingi hao wanaong'ang'ania miss tz lazma awe mweusi nini hoja yao? kwani kule miss wed wanaenda kucheza dogoli? Utamaduni wa mtz na sanaa ya urembo ya kimagharibi wapi na wapi? alaa!
Ni aibu kwa JF sinia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.