abari nmeingia kwenye ufugaji wa kuku wa mayai kwa sasa Nina kuku 200 japo nikiagiza 300 ila 100 walikufa kwa kua vitovu vyao vilikua havijakauka napenda kujifunza mambo kadhaa kutoka kwako hasa jinsi ya kuwahudumia Hawa viumbe changamoto na swala la madawa
Naomba niwape mrejesho
Zoezi langu limefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana ,lengo lilikua nifuge na nipate kuku1000 lakini ktk jambo lolote changamoto lazima ziwepo nilikumbana na ugonjwa wa vifaranga kuharisha damu so baadhi vilikufa lakini pamoja na Hilo nilifanikiwa kupata kuku 628 na kupitia...
Naendelea kuwapa mrejesho ndugu zangu mradi wangu unaendelea kuku wale wale waliokua wanalalia nmewarudishia mayai kwa awamu ya pili na tatu Hawa wengine nmeacha watage tu pia Kuna kitu nmejifunza kupitia Hawa kuku wa kienyeji ukimuachia nje azurure atataga kila siku na ukiwa unamfungia utagaji...
Mkuu bila shaka upo kwenye mazingira ambayo yanakubana lakini mimi nipo sehemu ambayo gunia la pumba linauzwa elfu12 na nje Kuna wadudu panzi na mchwa wa kutosha bora Ata mimi hua nawapa pumba kdg majirani zangu wao wanafungulia asubuhi na wanafungia usiku
Karibu
Nina mbinu nyingi sana na pia Nina eneo kubwa sana ambalo kuku jioni napomaliza shughuli zangu binafsi hua nawaachia huku na me nikiwa nawafatilia kwa karibu ,chanjo nipo makini sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.