Kiukweli mnaboa Sana hasa kuiba muda wa maongezi unaobakia kwenye Simu, yaani ukibakiza hata shilingi 100 baadae ukiangalia huikuti yaani mpaka inalazimu kuwa unajiunga vifurushi vyenu bila kupenda, Kiukweli huo wizi sio mzuri ila za mwizi 40, ipo Siku tutashtaki na hapo mtaona watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.