Kwanini kwa umoja wenu huo mlionao msiutumie kutimiza matakwa yenu bunge la katiba, instead mnapewa forum hamtumii na kututishia tu what you might do. Sasa mchakato mmeukacha, bdo uchaguzi mnatishia mtaugomea. Mtaishia kuwaacha CCM waogoze tu, manake mkisema waendelee kuprevail na nyie bungeni...