Recent content by mamamzungu

  1. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Ni kweli lakini ni bora mwanaume ajue kuwa anahudumia damu isiyo yake kuliko kujiaminisha.. Umeshawaza kama siku baba wa mtoto akirudi akisema anamtaka mtoto wake au yuko tayari kumuhudumia mtoto wake huyo baba fake utamwambia nini
  2. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Unajua kuna ile mwanaume ndio kila kitu kwa mtoto kiasi kwamba unasema Ngoja ninyamaze tu mtoto apate matunzo Sasa hapa sioni ambacho kinafanya huyu mwanaume abaki kwenye maisha ya uongo kwamba mtoto ni wake wakati si wake Najua labda sister anataka mwanae aonekane ana baba ile kupostiwa...
  3. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Ngoja nimwambie amchukue mwanae nisije patwa shida mimi siku likijulikana
  4. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Ni kweli lakini ni bora mwanaume ajue kuwa anahudumia damu isiyo yake kuliko kujiaminisha.. Umeshawaza kama siku baba wa mtoto akirudi akisema anamtaka mtoto wake au yuko tayari kumuhudumia mtoto wake huyo baba fake utamwambia nini
  5. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Unajua kuna ile mwanaume ndio kila kitu kwa mtoto kiasi kwamba unasema Ngoja ninyamaze tu mtoto apate matunzo Sasa hapa sioni ambacho kinafanya huyu mwanaume abaki kwenye maisha ya uongo kwamba mtoto ni wake wakati si wake Najua labda sister anataka mwanae aonekane ana baba ile kupostiwa...
  6. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Sasa kwani akifanya na huyo jamaa siku hiyohiyo alipata mimba.. unajuaje kama walitumia kinga au alikuwa siku salama Bado sijajua hii story yako ina mantiki ipi Sio kila sex ni matokeo ya mimba.. huyo jamaa anaweza kuwa alipiga lakini hakuweka mimba
  7. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Sasa kwani akifanya na huyo jamaa siku hiyohiyo alipata mimba.. unajuaje kama walitumia kinga au alikuwa siku salama Bado sijajua hii story yako ina mantiki ipi Sio kila sex ni matokeo ya mimba.. huyo jamaa anaweza kuwa alipiga lakini hakuweka mimba
  8. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Sasa kwani akifanya na huyo jamaa siku hiyohiyo alipata mimba.. unajuaje kama walitumia kinga au alikuwa siku salama Bado sijajua hii story yako ina mantiki ipi Sio kila sex ni matokeo ya mimba.. huyo jamaa anaweza kuwa alipiga lakini hakuweka mimba
  9. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Sasa kwani akifanya na huyo jamaa siku hiyohiyo alipata mimba.. unajuaje kama walitumia kinga au alikuwa siku salama Bado sijajua hii story yako ina mantiki ipi Sio kila sex ni matokeo ya mimba.. huyo jamaa anaweza kuwa alipiga lakini hakuweka mimba
  10. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Sasa kwani akifanya na huyo jamaa siku hiyohiyo alipata mimba.. unajuaje kama walitumia kinga au alikuwa siku salama Bado sijajua hii story yako ina mantiki ipi Sio kila sex ni matokeo ya mimba.. huyo jamaa anaweza kuwa alipiga lakini hakuweka mimba
  11. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    😂😂 nyie ndio wanafki baadae likitokea tukio mnakuja kusema ndugu zake walijua wakakausha lawama tunapewa kama ilivyo siku zote mchuma janga hula na wa kwao.. Unaongea kama kitu rahisi hiko ingekuwa wewe ni mdogo wake au ndugu wa huyo mwanaume ungejisikiaje ndugu yako kupotezewa muda hapo…...
  12. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    Weeeee sasa itakuwaje
  13. mamamzungu

    JamiiForums Tanzania Nianzie wapi? nataka kuoa na kipato changu ni around 300k kwa mwezi

    Umri huo unaoa et cocomelon wa 98 hebu kula maisha tafuta hela kwani huwezi kuwa na mahusiano tu bila ndoa 😛😛😛 For sure ni ngumu sana kuishi kwa kipato hiko halafu uwe na majukumu ya kulea usije ita watu wachawi wewe jipe tena miaka 5 mbele kama CR7 kaoa na 41
Back
Top Bottom