Mimi upande wangu nawashangaa hao kama na wewe uko huo upande inabidi uanzishe uzi… siwezi ongelea nisichokijua kama mwanaume hajaamua kuniambia huwa anaenda kwa waganga mimi nitajuaje
Uzuri hawa wamekiri wenyewe wanasali huko
Hao watu wanaaminigi sana kwenye kurogwa hata wa kijikwaa ukucha ukatoka wanakimbilia Kwa apostle awaambie nani anawaroga na sadaka ya kujimaliza na mafuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.