Neno ni dhana tata na ni dhana pana, nivigumu kupata maana ya mojakwamoja ya neno. kwani fasili hizo hutegemea kigezo kinachotumika ktk kufasili neno.Mfano kigezo cha kimofolojia, ksintaksia, kisemantiki,kifonolojia au kiothografia. Kwakifupi dhana ya neno inautata, utata huo unatokana na...