Recent content by malomba

  1. M

    Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

    Lazima mseme hivyo maana JK kila alipoteua waislam mlimwita mdini pamoja wakristo kuwa wengi kwenye baraza lake lakini JPM kati ya mawaziri 34 waislmu 7 hiyo mnaona sawa.
  2. M

    Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

    Nenda makao yao makuu yapo kinondoni muslim watakupa idadi ya shule zao.
  3. M

    Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

    BARAZA la Waislamu Tanzania (Bakwata) limemtaka Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani (Necta), Dk Joyce Ndalichako kujiuzulu wadhifa huo akimtuhumu kuwafelisha mitihani ya dini ya Kiislamu wanafunzi wa kidato cha sita wa dini hiyo. Kauli hiyo ya Bakwata imetolewa na Mufti wa Tanzania, Sheikh...
  4. M

    Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

    Tatizo udini unawasumbua ,ila tumewazoea akiwa muislam tu mnaleta majungu,ya Ndalichako kuwafelisha waislam mmeshayasahau???
  5. M

    Alichofanya Rais Kikwete Australia ni sahihi?

    Alichofanya ni sahihi, yeye Rais amepata mwaliko na wageni zake,kumpa yeyote amtakae si kosa.Dunia kwa sasa ni kijiji ndugu,kukutana yeye na mwanae Australia si jambo la kushangaza.
  6. M

    Mwigulu Lameck Nchemba afunguka kuhusu urais 2015

    nimeona hata kituo cha mabasi morogoro(msamvu) kuna maandishi ya MWIGULU RAISI 2015.
  7. M

    Nassari: Dalili za serikali iliyochoka na mawaziri waliochoka hii hapa

    hawa ghasia ni waziri toka ofisi gani?eti hakuna waziri hata mmoja alie chini ya waziri mkuu.msikurupuke mnapotoa taarifa.
  8. M

    Dual Citizenship: Watanzania mlio nje mnajitesa na kivuli chenu wenyewe, badilikeni sasa!

    kiukweli Le Mutuz umenena,maana ukiangalia jirani zetu kenya mpaka wao kufanikiwa Dual C/ship kikubwa walisimamia jinsi gani walio nje ya kenya wanasaidia kuendesha nchi yao ya kenya.Naamini wakiweza kuthibitisha hilo na kuwa na sauti moja watafanikiwa.
  9. M

    Barabara ya Msolwa mpaka Msoga ilikuwa na umuhimu gani?

    sasa mtoa mada,hao wagonjwa watafikishwa vipi huko zahanati kwa wakati ikiwa barabara hakuna/mbovu? Nadhani ufikirie kwa upana kabla ya kuanzisha mada. Ama wewe ulitaka iweje?unajua pale imeokoa km ngapi na unaokoa mafuta kiasi gani?inamaana tunaokoa kununua pesa za kigeni kwa ajili ya kuagiza...
  10. M

    Mabinti 12 wanaswa na ‘unga’ ndani ya siku 30

    umesahau na bukoba na maeneo ya jirani yenye wasomi wengi na ukimwi wakumwaga(wanawake wao utawakuta kwenye vibanda vya mitaa fulani ya jijini wakijiuza).
  11. M

    Ridhiwani Kikwete katika kashfa nzito Chalinze

    Hapo naona fiksi tupu,Vipi kuhusu visima kumi na mbili alivyozindua hivi karibuni navyo havitoi maji?. Hata kama kusoma hujui vipi picha huzioni???.Habari za uongo uongo na majungu hapa si mahala pake.
  12. M

    Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

    Wakati wa utawala wa raisi kikwete ameonyesha utawala wa demokrasia na uhuru wa habari ndo(kwenye utawala huu vigogo mbali mbali wamepandisha mahakamani na wengine kufungwa) jambo ambalo si la kawaida kwa viongozi waliomtangulia. Na matatizo yote yaliyojitokeza amejitahidi kadri ya uwezo wake...
  13. M

    Profesa Muhongo aalikwa Uswisi, Marekani

    Atahutubia mikutano ya wasomi duniani Vijiji 1,500 nchini kuwa na umeme Aprili 30 Waziri wa Nishati wa Tanzania Profesa Sospeter Muhongo amealikwa kuhudhuria mkutano unaoshirikisha viongozi na wataalamu kutoka mataifa mbali mbali nchini Uswisi. Mkutano huo ujulikanao kama World Economic Forum...
  14. M

    Rais Kikwete ateua Tume mpya ya Haki za Binadamu na Utawala Bora

    ulitaka wakristo wawe wengi??? Acheni hayo mambo angalia sifa ya mtu na sio dini yake.Ukianza hivyo waislam nao wakianza kuhoji mbona wakristo ni wengi katika nafasi mbalimbali kwani waislamu hakuna?. Tatizo mmezoeshwa kudhulumu dini nyengine. Tanzania ni ya watanzania wote na hakuna mbora zaidi...
Back
Top Bottom