Recent content by Malema24

  1. Malema24

    Niuzie Smartphone yoyote

    Nina LG at&t inasoma 4G inafanya kazi vizuri sana line moja original tuonane tufanye biashara
  2. Malema24

    Msaada wa kisheria kuhusu ndoa ya Mengi na K-Lynn

    Lakini hapa hoja ambayotunaweza kujadili ni "Kile kiapo cha ndoa cha kanisani kiliandikwa na Mungu au ni wanadamu walijitungia ngonjela zao wakaweka watu waimbe na kwanini mtu analazimishwa kusema maneno ambayo sio ya kwake ni ya mtu mwingine alafu anahukumiwa kwayo"?
  3. Malema24

    Msaada wa kisheria kuhusu ndoa ya Mengi na K-Lynn

    Sheria ya ndoa za kikristo inasema ikishafungwa hakuna chombo chochote hata mahakama ambayo inaweza kutengua hiyo ndoa ata kwenye cheti cha ndoa kuna hicho kipengele alafu sheria mpya ya mirathi inasema mtu au mmiliki wa mali yoyote anaruhusiwa kumrithisha mtu yeyote ambaye amependezwa naye sio...
Back
Top Bottom