Recent content by Malacky

  1. M

    Joshua Nassari MB.

    Naona hawa ni ccm tu na mbinu zao nyingi za kuendelea kuwafanyia visa wabunge wetu wa Chadema, ili wakose muda wa kwenda bungeni. Kujadili mambo ya msingi yanayohusu wananchi na kuwahumbua mafisadi, ili wabaki kutafakari kesi sizizo na msingi na muda uende
Back
Top Bottom