Nissan March ilianzishwa na kampuni ya Nissan Motor Co. Ltd na ilizinduliwa kwa mara ya kwanza katika nchi ya Japan mwaka wa 1982
Nissan March ilikuwa ni gari la aina ya hatchback linalolenga soko la magari madogo (compact cars). Lengo kuu la gari hili lilikuwa kutoa chaguo la kiuchumi kwa...
Kwa uzoefu nilionao magari yanayotumika kwa wingi mgodini ni Howo pamoja Benz maana ni gari zinazovumilia Hali yoyote mfano GGM Howo zipi nyingi Sana na mgodi wa Nyanzaga Howo ni nyingi sana
Pi
Lakin Howo na Benz ndo gari nyingi San zinazotumika sehemu nyingi San na ndo pendwa Sana kwenye kazi ngumu mfano GGM gari nyingi zinazotumika ni Howo na Benz
Howo N7 (NX) 6x4 Truck: ni gari la mizigo la kisasa, linayotumika hasa kwa usafirishaji wa bidhaa nzito na masafa marefu. Gari hili linatengenezwa na kampuni ya HSinotruk (Sinotruk International), ambayo ni moja ya watengenezaji wakubwa wa magari ya mizigo duniani.
Sifa Muhimu za howo N7
1...
Kweli kiongozi naona Africa tumeanza kujiboresha kwa kuanza kutengeneza magari ya umeme kama nchi ya Burkina Faso na Zimbabwe wamefanya kazi nzuri sana
Toyota Harrier ni gari la kifahari linalozalishwa na Toyota na linajulikana kwa muundo wake mzuri, utendaji bora, na faraja. Toleo la Toyota Harrier lenye jina la "E New Moden" linajumuisha sifa mpya na teknolojia ya kisasa ambayo inaboresha uzoefu wa kuendesha gari.
Sifa za Toyota Harrier (E...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.