Mnafiki wa kwanza ukiwa ni wewe mwenyewe. Kikombe cha damu alichokinywea Idd Amin Mama hakitamuepuka, hata mumpambe vipi, tayari ananuka damu za maelfu ya watanganyika. Hizo damu zitamlilia maisha yake yote na vizazi vyake vyote.
Kuna siku tutafika huko, hao waliouwawa wapo na ndugu, marafiki, majirani, watoto, wazazi wa hao walioko kwenye vyombo vya ulinzi na usalama. Nao pia ni binadamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.