Yule bwana ni mjanja sana lakini ni kawaida ya wahindi,,sababu aliyoitoa kwamba amebanwa na majukumu aikuniingia akilini kwasababu sio mara ya kwanza kurudi pale kama mwenyekiti wa bodi,,mpaka anarudi alikuwa anajua majukumu yanavyombana kwanini alirudi?
Kwamba amekuja kuona majukumu yanambana...
Msaliti namba Moja wa Simba ni uyo mhindi wenu Mo,,mtakuja kushtuka mkiwa mshachelewa,,
Akishaga chungulia na kuona upepo auko sawa uwa anajivunja na kumpa mtu mwingine nafasi yake akisingizia majukumu kwani wakati anarudi kuwa mwenyekiti wa bodi akujua kwamba anayo majukumu yanayombana? Hapo...
Wangesema walikuwa wanazindua uuzwaji wa jezi na sio kuzindua jezi kwa maana jezi zilishajizindua zenyewe kitambo kilichokuwa kimebaki ni kuanza kuuzwa🤣🤣🤣
Nilikuwa nasubilia kwa hamu kujua kama zile jezi zilizovujishwa za Simba kama zilikuwa ni jezi halisia hili nijiridhishe na jambo Fulani,,,
Lakini nimejiridhisha Leo kwamba zilikuwa ni jezi zenyewe halisia baada ya kuzinduliwa zile zile zilizovujishwa!
Hapa nawapa kongole yanga kwa kuwa vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.