Udini utaleta matabaka katika nchi hii angaika angaika ya Dr Slaa ni ukatoliki wala sio jengine tuliona 2010 Dr Slaa akipata nguvu kutokana na ukatoliki sasa Leo anakuja na kumsema sana Lowassa kwa kumwambia fisadi alituambia ana list of shame kama kumi na moja haya sasa umesema mmoja mbona...
Tatizo kwenye raha wanakuwa wao tu lakini kwenye shida wanataka ushirikiano. Wakatoliki walimsumbua kikwete sana 2010 wakampa Dr Slaa nguvu. Leo kimya kisa ndugu Yao yupo tumeona juzi kupitia kwa Dr Slaa ubaguzi wao basi sisi wa lutherani na ndugu zetu waislam tujitenge tujue ukweli uko wapi
Tunasema kila mtu ana akili. Na akili za kuambiwa changanya na za kwako mbona tunaona mchezo na maigizo kwenye hotuba ya Dr Slaa. Hivi walipanga au walijitaharisha siku zote tunaona media Fulani wakisema wapinzani hawaonyeshi habari zao mfano wakuondoka ccm Lowassa na sumaye hatujaona...
Historia inaonyesha miaka 10 ya kikwete katika kuomba kura katika uwanja wa Jangwani alishaanguka Mara mbili watu usema ndio Kafara ya chama. Je na Leo mgombea hataanguka pia
LEO Nitaanza na na lusinde na makongoro nyerere....
Lusinde alimaarufu kibajaji huyu jamaa nikiangalia tokea yuko bungeni alikuwa ni mtu mwenye maneno machafu sana tunasema hana hekima sasa sijui ni kigezo gani kilitumika kuchaguliwa kwenye Timu ya maangamizi maana alishatolewa mvuto na...
Nakumbuka katika pita zangu nilichukua maoni kutoka sehemu nyingi Sana juu ya wananchi juu ya swala la uchaguzi niliona kuwa mchaguliwa na mchaguwaji wote wanafanana sawa na msemo " Nipe nikupe" sio je "Nikukupa utanifanyia nini" tatizo sisi watanzania tuna ubishi wakutafuta mabishano yasio na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.