Jaman wakuu mm Nina 3 yangu ya 25 japo so nzur lakn naona nilijitahidi nimeaplly certificate ya ualimu mpaka Mara mbili nakosa first & second sasa hvi second zimetoka simo tena nishaurini nifanyeje
Mkuu mm kwa kweli matokeo yangu ya 4m4 so mazuri nilipata three ya point 25 nka apply astashahada ya ualimu wa shule ya msingi kwa awamu ya kwanza nikatemwa na reason ilkua the last selected ana point 24 ko mm na 25 2kaambiwa kuapply upya HV kwel awamu ya pili watanichukua au niangalie private...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.