Recent content by majorbuyoya

  1. majorbuyoya

    VAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana

    Kwani VAR imetengenezwa kwaajili ya kukataa magoli ya Liver au kumsaidia Mwamuzi kufanya maamuzi pale anapohisi anahitaji Msaada? Kuna mwenzako nimemjibu hapo juu kwenye post #34 kuhusu goli la Liver lililokataliwa.
  2. majorbuyoya

    VAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana

    Kama uliangalia game ya Liverpool na Aston Villa kwenye EPL, Roberto Firmino alifunga goli VAR ikasema sio goli. Kwani ile game ya Liverpool na Man U Origi alivyokwatuliwa halafu mpira ukaelekea kwa Liver kisha Liver wakafungwa VAR iliwabeba Liver? Tuwe tuna balance matukio, kama ingekuwa...
  3. majorbuyoya

    VAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana

    Daaah!! Bahati mbaya Mkuu, siku nyingine ukitaka kupiga hela vizia game mbili mfululizo za Man U au Chelsea halafu ubet kuwa wananyooshwa, lazima upige hela. Trend inaonesha hizi timu sasa hivi ni kama Gari la Mkaa, tripu moja barabarani moja inayofuata ipo Gereji.
  4. majorbuyoya

    Kuanguka kwa Liverpool kutaanzia boxing day

    Jamaa nahisi anabadili majina na kuanzisha uzi nyingine kuhusu masuala ya Liverpool ili apate support kutoka kwa wenzake.
  5. majorbuyoya

    VAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana

    Mfumo ukishasetiwa huwa haufanyi kazi kwa maelekezo ya kila mtu vile anavyotaka yeye. Huo mfumo wa VAR kabla ya kuanza kutumika walikaa experts wa masuala ya mifumo ya Kompyuta na Mpira wakaona upo poa. Inakuwaje wewe mtoto wa Buza uone una kasoro? Nendeni mkaanzishe Mifumo yenu iwabebe nyie 😂😂
  6. majorbuyoya

    VAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana

    Na wewe kapange yako!!
  7. majorbuyoya

    Liverpool alishapangwa kuwa bingwa toka msimu mnaanza

    Kwa maana hiyo UEFA nao msimu uliopita walipanga kuwapa Liverpool Kombe la UEFA pamoja na UEFA Super Cup? Vile vile FIFA walipanga kuwapa Liverpool Kombe la Dunia la Vilabu? Unadhani kule ni Mbumbumbu na wana longolongo kama Mipira yenu ya Kibongo. Mbona husemi kitu leo Man City walivyopewa...
  8. majorbuyoya

    Jinsi Ratiba ya EPL ilivyopangwa kumbeba Liverpool, ni makusudi au coincidence?

    Duuuh!! Basi sawa Liverpool wanabebwa na tufanye tofauti kwa sasa ni pointi 6. Haya leta hoja ya msingi tukuelewe unachotaka.
  9. majorbuyoya

    Kuanguka kwa Liverpool kutaanzia boxing day

    Dogo sina muda wa kupoteza na Waseng&. Nimekupa airtime ya kutosha. Endelea na ishu zako.
  10. majorbuyoya

    Jinsi Ratiba ya EPL ilivyopangwa kumbeba Liverpool, ni makusudi au coincidence?

    Umekimbia kule kwenye uzi alioanzisha mwehu mwenzako umekuja kuanzisha uzi mwingine huku. Uwage na akili basi we jamaa. Ratiba ya EPL huwa haipangwi kila Wiki, huwa inapangwa kabla Ligi haijaanza. Mbona Liverpool walitakiwa wacheze na Aston Villa kwenye Carabao Cup and within 24 hours...
  11. majorbuyoya

    Guardiola anaifanya Ligi ya Uingereza kuonekana nyepesi

    Alieanzisha huu uzi bado yupo hai? Aje ku-verify maneno yake
  12. majorbuyoya

    Kuanguka kwa Liverpool kutaanzia boxing day

    Hawezi kurudi tena na kujibu chochote. Kwa ujumla sasa hivi Mtaani hakuna kabisa mijadala kuhusu EPL, wameshajua hali zao mbaya kwa wale wasioipenda Liverpool. Wengi wao walitegemea Man City ndo iisimamishe Liverpool lakini baada ya kichapo cha jana kutoka kwa Wolves matumaini ya kuifukuzia...
  13. majorbuyoya

    Kuanguka kwa Liverpool kutaanzia boxing day

    Kwahiyo ulitaka niandikaje labda? Nadhani wewe ni mgeni wa Jamii Forum na inawezekana hufahamu kuwa JF inaendeshwa kwa Sheria na Taratibu. Kwa mtazamo wako ningekuwa nimetukana hadi sasa hivi ningekuwa sijakula "Ban" au wewe unafahamu sheria zaidi kuliko Mods? Unaweza kunionesha tusi...
  14. majorbuyoya

    Kuanguka kwa Liverpool kutaanzia boxing day

    Muda mwingine kukaa kimya pia inasaidia uonekane mwelevu kuliko kupiga kelele zitakazokufanya watu washindwe kujua kuwa wewe ni Chizi au Mwendazimu. Sio lazima kila mtu awe mchambuzi wa Soka hapa Duniani. Unaweza ukawa Mchambuzi wa Nywele za dada zako, utakuwa umefanya la maana kuliko...
Back
Top Bottom