Labda nikwambie kitu yule mutale ni mchezaji machachari na sio mchezaji hatari, yule akuna tofauti kati yake na kisinda aliyekuwa yanga, angalia final touch zake na maamuzi yake ya mwisho yakoje, Azam waliwai kutaka kumsajili lakini nafikiri benchi lao la ufundi lilifanya kazi yake ipasavyo...
Yule comedy wao msemaji alikuwa anawacheka Azam kutolewa kwa upande wanaume lakini Sasa timu yao ya kiume aina tofauti na ya wanawake na wao inakuja thank you kwa kushiriki siku sio nyingi!
Jibu linajulikana tu Simba Awana ubora wa wachezaji Bali Wana lundo la wachezaji, anzia kwenye back line nitajie beki wa Simba mwenye ubora Kama wa Ibrahim baka, bakari mwamnyeto ama diksoni jobu, ukitoka hapo nenda kwenye kiungo ni nani pale anamuweka benchi mudathiri, nenda kwa mshambuliaji ni...
Katika hoja zote umetoka na hoja ya kiswahili tu basi, jibu hoja usifanye mangungu aonekane alikuwa sahihi kukataa kujiuzulu maana wanachama wake na mashabiki anaowangoza wengi wao akili ni Kama zako, hoja ujibiwa kwa hoja na sio mipasho ya waimba taarabu!
Eti vijana wenye vipaji basi tulia usubilie ivyo vipaji tuone vitakufikisha wapi, mnajazwa na mnajaa Kama Maputo, wewe ivyo vipaji uliviona wapi mpaka ujiridhishe kwamba Wana vipaji? Unameza unachoambiwa na unakishupalia kabisa🚮🚮🚮
Nenda ukoloni wakuwekee Aya, jibu hoja mengine ayakuhusu, inawezekana ulikuwa mmoja wao wa wale waliopiga makofi kumsajili manzoki kwenye uchaguzi siwezi kupoteza mda wangu kukuelewesha na bandiko linajitosheleza!
Siku zote mpira unachezwa hadharani na sio propaganda uchwara, ukipanda mahindi utavuna mahindi na sio bangi, ukiwekeza kwenye mpira utalipwa sawasawa na ulivyowekeza.
Tumeona timu 4 zinashiriki mashindano ya kimataifa msimu huu na tayari timu 2 zimeshayaaga mashindano rasmi, zimebaki timu 2...
Hizi porojo azijaanza Leo na bahati mbaya zinatolewa na ziliwai kutolewa na wajinga wajinga ambao Awana ata ushahidi na walishindwa kutoa ata ushahidi, ubora wa yanga unaanzia kwa fitness coach anayefanya kazi yake vizuri, usidhani mpaka yanga kafika robo fainali klabu bingwa kucheza na timu...
Acha utahaira singida kacheza na Tabora mechi Gani ya ligi ama ya kirafiki? Ninachojua singida kacheza na ken gold mechi ya kwanza akashinda 3-1, mechi ya pili singida kacheza na Kagera sugar akashinda 1-0, sijui iyo singida iliyocheza na Tabora unayoisema ni ipi labda!
Alafu jikite kwenye hoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.