Nilivuchukua vifaranga nimevifuga kwa muda wa mienzi minne na wiki mbili wakanza kutaga na wanataga kwa muda wa miaka miwili watakua wamemaliza kutaga bada ya hapo unawauza tena na kuku wenyewe
Hawa kuku wanakula laki moja na nusu kwa mwezi na kwasababu hiyo ninauza trei elfu Saba na kila siku naokota trei mbili jumla hizo trei mbili napata laki nne na ishirini toa chakula inayobaki Ndo faida yangu
Nilianza safari ya ufugaji mwaka Jana mwenzi wa sita kwakununua vifaranga mia kila kifaranga nilinunua elfu mbili na miasita niliweza kupambana navo katika vifaranga mia vilikufa vifaranga vitano tu saiv nimefikia kuokota trei mbili kwa siku naziuza nakupata elfu kumi na nne kwa siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.