Recent content by majesty255

  1. majesty255

    Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uchaguzi Mkuu Tanzania 2020

    yeah but tambua US sio bongo.. raisi wao wa awamu ya tano walimchagua kabla hat raisi wako wa awam ya tano haja fikiriwa kuzaliwa so..mi nasemag tusijifananshe na nchi kama hzo kwny u leo.. all in all wote tuta being affected iwe neg or positv way kwakua baba yetu mmoja ambae ni tz.. acha tu...
  2. majesty255

    Halima Mdee apoteza Jimbo la Kawe, Gwajima aibuka kidedea

    Ilipangwa tuulizwe sie tulio kuwepo kwenye semina za CCM Dar tukwambie mipango mikakati..npo back stage natabasam tuh. Watanzania asilimia nyingi tupo shallow.
  3. majesty255

    Uchaguzi 2020 Tamko la Ubalozi wa Marekani kuhusu uchaguzi Mkuu Tanzania 2020

    the time will come when those who doesnt know meaning of democracy will understand..acha wawatukane wenzao walo tambua early
  4. majesty255

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020

    Kama hujafka level za Bakhressa bas usiite mtu maskini.. kama unaingiza milioni kwa siku mwezi usijione Bill Gates kwamba unaeza muajiri mtu yeyote unaechatt nae...at the first point you are the one ulioanzisha dharau .. naona unajiuma uma tuh mara mabeberu mara milioni mara juu ya mawe.. acha...
  5. majesty255

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020

    hahahaha sawa bakhressa , sjakuon kwemy list ya matajir bongo..sa sijui unautajir gani wakutamba... unaeza kuta unatembeza kuku road tuh... nenda shule alaf ukimalza njoo tubishane
  6. majesty255

    Uchaguzi 2020 Sugu: Hata bila ya Tume Huru ya Uchaguzi, CHADEMA inashinda Ubunge Mbeya Mjini

    analyse bro usi m crush ..waulze walio kwny vitengo baada ya haya mambo kukaa sawa baadae huko... alaf njoo umuite kitobo tena
  7. majesty255

    Uchaguzi 2020 Sugu: Hata bila ya Tume Huru ya Uchaguzi, CHADEMA inashinda Ubunge Mbeya Mjini

    yes bro.. kuna mtu ananiambia alkua kwnye semina dar ya ccm..u cant belive kwmba yalokua yanatokea kipnd cha kupiga kura yalikwsha pangwa.. mikakat ya mawakala wa vyama vingine vikubwa kucheleweshewa kupewa form ilkua moja ya mkakati na tukubali tukatae hv vyama vidogodogo vimenunuliwa na ccm...
  8. majesty255

    Uchaguzi 2020 Sugu: Hata bila ya Tume Huru ya Uchaguzi, CHADEMA inashinda Ubunge Mbeya Mjini

    Hakuna Tume huru tanzania since inaundwa mkuu...ukweli ndo huo...kama takukuru tu wenyew wanakula rushwa, tanzania taasis gan ipo sawa ? tuache point insha tuende na uhalisia
  9. majesty255

    Zanzibar 2020 Ukimya wa Vyombo vikubwa vya Habari kwa yanayotokea Zanzibar

    are you 100% sure ..uko zanzibar au bara
  10. majesty255

    Zanzibar 2020 Ukimya wa Vyombo vikubwa vya Habari kwa yanayotokea Zanzibar

    are you 100% sure ..uko zanzibar au bara ?
  11. majesty255

    Uchaguzi 2020 Mbowe ashindwa kutetea Ubunge wake katika Jimbo la Hai

    mi naona tunge piga kura za kunyoosha vidole au sauti tuh maana haya makaratasi ni ushubwada kwa kwel😊
  12. majesty255

    Uchaguzi 2020 Mbowe ashindwa kutetea Ubunge wake katika Jimbo la Hai

    muandish mfuasi wa meco full😂
  13. majesty255

    Uchaguzi 2020 Zitto: Kigoma tumekamata kura feki nyingi zikiwa zimewapigia CCM

    watanzania tuamke.. vtu vipo dhahili lakin mtu kutokana na u ccm ana ponda..hujiulz kwann kura ziwe zao ndo feki mitandao waminye mawakala wasumbuliwe..mbona haitokei kwao.. napata taab nnapo muona mtu analeta uchama kwnye swala la u nchi.. ukwel mi kwamba asilimia nying ya wananchi wanajua...
  14. majesty255

    Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga

    😂😂 mkuu huyu meko full safar hii kalamba jiwe la chumvi ya ng'ombe... hatuja sahau /distinction,A+ ,B+ alaf tunarudshwa tena kwny division one,A-plain,B-plain.... mara wazir wa elim kaongea hv...matamko tamko tuh yasiyo na mbelewala nyuma..sahv wakawatamkie ndugu zao wa chatonge hukoo
Back
Top Bottom