Nimekuwa nikufuatilia kwa karibu mijadala mbali mbali ya bunge na hata juzi nilimsikliza mh Shibuda kwa makini na nimegundua kwamba huyu mtu ni msaliti hafai kuwa ndani ya chadema cause yuko against na CDM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.