Recent content by Maishayangu

  1. M

    Nisaidieni ushauri, je nimrudie huyu mwanamke na je nitamridhisha kweli

    Ok nimewaelewa na nashukuru kwa ushauri wa maana wengine naomba muendelee kunishauri, lakini kama kuna ambaye alishakuwa na case kama hii anipe uzoefu wake. Na je naomba kujua kama kuna yeyote ambaye alishawahi kulalamikiwa na gal wake kwamba uume wake mdogo na je alichukua hatua gani na...
  2. M

    et hii ni ishara ya nini?

    Ok nimewaelewa lakini kama kuna ambaye alishakuwa na case kama hii anipe uzoefu wake. Na je naomba kujua kama kuna yeyote ambaye alishawahi kulalamikiwa na gal wake kwamba uume wake mdogo na je alichukua hatua gani na hatimaye gal wake akaridhika?
  3. M

    Nisaidieni ushauri, je nimrudie huyu mwanamke na je nitamridhisha kweli

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26, nimeingia kwenye mahusiano na msichana niliiyempenda sana kwa karibu miaka 3 kuelekea 4. Lakini nilikuja kugundua msichana wangu ananisaliti kwa kutembea na wanaume wengine na kwa sababu alikuwa ni mkweli nikimbana alikuwa ananiambia na analia sana na...
Back
Top Bottom