Recent content by Mahug

  1. M

    Msaada: Daktari bingwa wa Ngozi anisaidie tatizo hili

    Naomba anayefahamu ninapoweza kuusaidiwa matatizo ya ngozi, miaka mingi sasa vikiota usoni kama chunusi basi ni vijipu, kwapa huota kama vijipu vidogo vdogo, sehemu za masikio vile vile, na sehem za siri. Jasho likaa muda mrefu mwilini vinazidi, nikiwa na stress pia, nikipaka mafuta usoni ni...
  2. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimu, Idara ya Sekondari
  3. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    (1):Kwa yeyote aliye wilaya yoyote ya Rukwa au Katavi aje Kagera Halmashauri ya Missenyi (2): Kama upo Dodoma, Tanga, Morogoro, au Dar.....wewe uje Kagera Missenyi, nauli Tsh.2000/ toka Bukoba mjini hadi Halmashauri, na Tsh.3000/ hadi Mtukula mpakani na Uganda
  4. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Jamani kwa yeyote aliye tayari kubadilishana kituo cha kazi, mimi ni mwalimu mpya niko Kagera, Halmashauri ya Missenyi.....Kigarama Sekondari
  5. M

    Mimi mwalimu Mpya; Kagera Misenyi kukoje?

    Haaaa haaaaa.....pamoja sana, Asante bana!
  6. M

    Mimi mwalimu Mpya; Kagera Misenyi kukoje?

    Mimi ni wa kawaida sana ndugu yangu, naishi mazingira yoyote, ila nauliza ili nijue jinsi ya kukabiliana nayo walau kwa kiasi fulani
  7. M

    Mimi mwalimu Mpya; Kagera Misenyi kukoje?

    Nashkuru kwa kutumia muda wako kunijibu, Asante Mungu akubariki....walau napata picha ambayo inanijenga kisaikolojia ata kabla cjafika!
  8. M

    Mimi mwalimu Mpya; Kagera Misenyi kukoje?

    Hili swali ni kwa yule anayeweza kunijibu na sio kila mtu ata ambae hapajui, ndo nshauliza sasa kiroho safi!
  9. M

    Mimi mwalimu Mpya; Kagera Misenyi kukoje?

    Ahaaaa, asante kiongozi....kwahiyo nisiwe na shaka cio?
  10. M

    Mimi mwalimu Mpya; Kagera Misenyi kukoje?

    msaada tafadhari, cjawahi kabisa kufika Kagera, na nmepangwa Misenyi
  11. M

    Kiwango cha Mishahara Walimu Wapya

    Jamani naomba kujuzwa kuwa kiwango cha mishahara kwa Walimu wapya ngazi mbali mbali ikoje?
  12. M

    Walimu wapya account za benki

    wanajamvi naomba kuuliza kuwa ni account ya Benki gani mwalimu mpya anapaswa kuwa nayo, na kuna usumbufu kiasi gani ukienda kuripot kwanza ndipo ufungue Account?
  13. M

    Serikali yafuta ajira za walimu mwaka huu

    weka attachment ya hilo gazeti kama chanzo cha hiyo habari ili uaminike,....this is the forum of Facts,not forum of Rumours!
  14. M

    Serikali yafuta ajira za walimu mwaka huu

    mhariri anauliza swali,....na sio ajira hazipo.....umesoma au umeskia?
Back
Top Bottom