NIJARIBU NI CRDB MAANA JUZI NILIKWENDA PBZ NIKAAMBIWA HIVYO, NIKAENDA KCB NIKAAMBIWA HVYO HVYO PIA NA NAFIKIRI HUENDA HIZI NDIO TARATIBU ZA KIBANK HIVI SASA
NIMESHAJIBU HUKO NYUMA...!
KWAMBA NINAPOTAKA KUAGIZA MZIGO HUA PESA NATUMA KUPITIA KWA AGENT WANGU ALIOKO CHINA KUPITIA KWA AGENT ALIOKO DAR ES SALAAM...
SASA KWA VILE NATUMA KWA DOLA HAWATAKI KUPOKEA PESA AINA NYINGINE ZAID YA DOLA...!
PROBLEM ILIYOPO NAIPATAJE HIYO DOLA NA BANK WANAITAJI...
Mimi hua Natuma pesa kwa Agent wangu halaf yeye ndiye anatuma kwa Bank Acount ya kampuni ninayotaka kununua mzigo kwake, sasa pale ninapoenda kutuma hawataki TSH kwa vile natuma kwa Dola bas wanataka Dola tu
Habari wanajamii forum nahitaji msaada wa maelezo namna ya kuweza kununua USD Money (Dola)
Mimi nafanya Biashara zangu ndogo ndogo Online, sasa mara nyingi hua nanunua DOLA na kuituma kwa ajili ya kununua mzigo, jana nilikwenda Bank mbili hivi kwa ajili ya kununua Dola lakini kila nilipoingia...
Ingia Playstore AU AppStore inategemea watumia simu gani download Alibaba then jisajili utakutana na bidhaa nyingi tafuta kile unachohitaji kwa umakini hata zaidi ya masiku jiridhishe kwenye page zao utakutana nao au mfate inbox muombe whatsapp namba then mtaanza wasiliana na utamueleza...
Bwana Kipilipili ametoa somo kubwa sana nafikiri km utaanza kusoma mwanzo utapata majibu mazuri ya kutosheleza na pia sina uzoefu na hyo biashara ya spea ila kwa process na njia za kufanya anza kusoma mwanzo nafikiri utatoshelezeka ila km kuna swali lingine au hujatosheka na nilichokujibu kua huru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.