Ni suala la muda tu. Unaweza ukawatisha watu kila muda washughulikiwe.
Unaweza ukajiita amiri jeshi mkuu, lakini ukweli ni kwamba hakuna kiongozi yeyote aliyewahi kushinda nguvu y umma.
Tusubiri October 29
Ameshiba mihogo. Leo anasema Magufuli ni kaka yake. Wewe makonda ni wakumuita magufuli kaka Yako kweli? Unakumbuka alivyokusitahi kama mwanae. Unakumbuka alivyokuunganisha wewe na Ruge kule chongoleani Tanga kwa kuwaita wewe na Ruge ni wanaye. Leo unamuita kaka Yako eti.
Tafadhali usimtumie...
Wewe unayeteka watu nakwambia hautachaguliwa kwa matendo Yako haya.
Na hizi damu za watu wasio na hatia wana wa Mungu zitakulilia mpaka mwisho wa uhai wako. Huwezi kuteka watanzania hivi halafu ukalala usingizi.
Mungu huyu wa mbinguni tunamuomba kila siku akutendee adhabu kwa kiwango Cha...
Wewe ng'ombe na zombie. Narudia wewe ng'ombe na zombie. Kama una mdomo utumie kwenye kula tu na si ujinga huu. Kama una vidole vitumie kusafisha k.....u..ndu lako chafu na si kuandika ujinga huu. Dawa Yako inachemka. Shetani na jinga. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
CPt Tesha hajafukuzwa jeshini. Huwezi kufukuzwa au kuachishwa jeshini ukabaki na uniform. Hii ni ujanja kama ujanja mwingine tu. Kama ana akili mama mwambieni akae kando hali ni mbaya mno . Jeshini Kuna mpasuko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.