Kitu cha kufanya ni selikari kupunguza au kuondoa Kodi za mahitaji muhimu walau kwa miezi 3 bei zishuke ije ifidie pengo, unga aina zote , Michele, sabuni, mafuta. Raisi Atangaze namshauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujiliwaza kuwa watu wasipaniki ni ujinga. Nchi zilizoendelea zinaadhirika sana kwa sababu watu wanaopanda ndege kwenda na kutoka oversees ni wengi, chukulia mfano wilaya ya kinondoni ni wangapi kwa mwezi mmoja wametua na kuruka oversees linganisha na wilaya kama hii Roma au Madrid utaona Kyle...
Baba askofu asante kutuweka tone LA maji kwenye ndimi na makoo yalio na kiu sana! Sisi hasa wa Kristi wakatoliki, kuna wakati wengine tunataka kuamini visivyo kuhusu maaskofu wetu(TEC), kwamba hawaoni?,hawasikii?, hawaambiwi?
Hawana habari? Na yanayotendwa chini ya selikali ya mkatoliki...
Mipaka ifungwe Mara moja Leo Afande Silo anasema hakuna kufunga mipaka utafikiri Polisi/majeshi yataweza kuzuia maambukizi, ametoa sababu za kuchekesha na kuchefua yeye ni nani katika fani ya Afya???
Huwezi sema ni ktk nchi za baridi! No geofarafia inatuonyesha upo ktk tropics, sub tropics nk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.