Recent content by magogu

  1. M

    Biashara ya kahawa na kashata

    Za jioni ndugu jamaa na marafiki. Naomben msaada wenu wakina. Nina mtaji wa 250,000/= nataka kufanya biashara ya kahawa na nipo Dar es salaam. Kabla sijaanza ningependa kuuliza maswali yafwatayo÷ UPANDE WA MUUZAJI 1/Mauzo kwa siku ni bei gani (kahawa na kashata) na hesabu kwa tajir bei gani...
  2. M

    Msaada: Biashara ya kahawa na kashata

    Za jioni ndugu jamaa na marafiki. Naomben msaada wenu wakina. Nina mtaji wa 250,000/= nataka kufanya biashara ya kahawa na nipo Dar es salaam. Kabla sijaanza ningependa kuuliza maswali yafwatayo÷ *UPANDE WA MUUZAJI* 1/Mauzo kwa siku ni bei gani (kahawa na kashata) na hesabu kwa tajir bei...
Back
Top Bottom