Recent content by Magical power

  1. Magical power

    Acha kuchukua pesa zilizoanguka chini - si kila kilichoanguka ni baraka, si kila pesa iliyoangushwa ni ya kawaida

    Pole sana mkuu,mm nawapa code ila kuna watu apo juu wanasema nisiwapige mkwara ya mbuzi
  2. Magical power

    Acha kuchukua pesa zilizoanguka chini - si kila kilichoanguka ni baraka, si kila pesa iliyoangushwa ni ya kawaida

    ACHA KUCHUKUA PESAA ZILIZOANGUKA CHINI - SI KILA KILICHOANGUKA NI BARAKA, SI KILA PESA ILIYOANGUSHWA NI YA KAWAIDA Baadhi ya matatizo na magonjwa ya baadhi ya watu yalikuja siku uliyochukua senti 🪙 au noti 💰. Usiokote pesa barabarani , mingine ni mitego ya kiroho. Watu wenye shida za kiroho...
  3. Magical power

    Jamaa mmoja alikuwa akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari, castle na kilimanjaro kisha anatafata meza yenye viti vitatu.

    Jamaa mmoja alikuwa akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari, castle na kilimanjaro kisha anatafata meza yenye viti vitatu anakaa nakunywa zile bia moja bada ya nyingine zote tatu nakuondoka. Alirudia hii tabia mara kadhaa ndipo mhudumu wa ile bar akashindwa vumilia ikabidi amuulize...
  4. Magical power

    Hawa mbu wa siku hizi ni Toleo Jipya au ni walewale wa zamani?

    Hawa mbu wa siku izi n inzi walio changanyikiwa uwaelez jambo😂😂
  5. Magical power

    Wakuu nimerejea tena kutoka sayari ya mbali baaya kupotea kwa mda wa miaka miwili

    Chuma ndo imetua sasaiv apa Dunian SAA Saba hii na dk 25 kutoka masafa ya mbali nipo full mzuka na mikoba yote ya magical power imeongezeka power zaidi
  6. Magical power

    Wakuu nimerejea tena kutoka sayari ya mbali baaya kupotea kwa mda wa miaka miwili

    Kama kichwa Cha habari kinavyo SEMA,pia nimewakumbuka sana ndugu zangu w kina jinuni wanawasalimia sana wakina maimuna na sharifu. Nambie una jambo gani linalo kutatiza nikusaidie mara Moja🙏🏽
  7. Magical power

    Una uhakika eneo unaloishi limebeba mafaniko yako?

    Kupata jibu la swali hili, huna budi kutafakari Kanuni ya Uvutano (The Law of Attraction) inayofanya kazi sambamba na Kanuni ya mtetemo (The law of Vibration) Kanuni hii nasema hivi; "Kila kitu kinachoonekana na kisichoonekana hutetema (vibrates) katika mtetemo unaojifanana" Mawazo yetu...
Back
Top Bottom