ACHA KUCHUKUA PESAA ZILIZOANGUKA CHINI - SI KILA KILICHOANGUKA NI BARAKA, SI KILA PESA ILIYOANGUSHWA NI YA KAWAIDA
Baadhi ya matatizo na magonjwa ya baadhi ya watu yalikuja siku uliyochukua senti 🪙 au noti 💰.
Usiokote pesa barabarani , mingine ni mitego ya kiroho. Watu wenye shida za kiroho...
Jamaa mmoja alikuwa akifika bar anaagiza bia tatu tofauti safari, castle na kilimanjaro kisha anatafata meza yenye viti vitatu anakaa nakunywa zile bia moja bada ya nyingine zote tatu nakuondoka.
Alirudia hii tabia mara kadhaa ndipo mhudumu wa ile bar akashindwa vumilia ikabidi amuulize...
Chuma ndo imetua sasaiv apa Dunian SAA Saba hii na dk 25 kutoka masafa ya mbali nipo full mzuka na mikoba yote ya magical power imeongezeka power zaidi
Kama kichwa Cha habari kinavyo SEMA,pia nimewakumbuka sana ndugu zangu w kina jinuni wanawasalimia sana wakina maimuna na sharifu.
Nambie una jambo gani linalo kutatiza nikusaidie mara Moja🙏🏽
Kupata jibu la swali hili, huna budi kutafakari Kanuni ya Uvutano (The Law of Attraction) inayofanya kazi sambamba na Kanuni ya mtetemo (The law of Vibration)
Kanuni hii nasema hivi;
"Kila kitu kinachoonekana na kisichoonekana hutetema (vibrates) katika mtetemo unaojifanana"
Mawazo yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.