Recent content by magical fire

  1. magical fire

    JamiiForums Tanzania KERO Nauli za Daladala Jijini Mbeya ni mzigo kwa Wananchi

    Kwanini daladala za Mbeya wanachukua nauli shs 1000 badala ya nauli halali ya shs 700-800. na wakati umbali hauzidi hata km 10 ?? Mfano kutoka Uyole hadi Kabwe au Mwanjelwa ni Km 7 lakin tunalipa 1000, lakini pia hata ukiwa unashuka vituo vya njiani wanatoza 1000 pia kituo hadi kituo nauli...
Back
Top Bottom