Recent content by Maghabiro

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Bitcoin kama akaunti ya kuweka

    N nikiwa na KES naweza kutumia njia gani ili nipate Tanzania shi
  2. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu namna ya kuhamisha pesa from Safaricom M-PESA to Vodacom M-Pesa

    Naomba msaada namna ya kupata hizi laini za safaricome
  3. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Uhaba wa DOLA (U.S.D) Tanzania na ukimya wa Serikali

    Mm huwa na exchange hizi dolla naona ni kote tu dunia nzima zimeadimika kama unahutaji USDT ama una uza USDT nicheki Whatsapp 0610300414
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ni changamoto zipi zinazikumba car wash za hapa bongo?

    Hivi mkuu kwa mtu anae osha pikipiki 25 na gari ndogo 10 kwa siku akiwa na tank la lita 5000 lililo jaa maji bila kutegemea maji ya dawasco kwa sehem ambayo maji yana kata mara kwa mara anaweza kudumu nalo kwa mda gani.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mwanza biashara unaweza kufanya kwa mtaji wa Tsh 500,000/=

    Ndiyo, ingependeza zaidi ufanye utafiti na kujifunza zaidi nenda maeneo ya nyanda za juu kusini
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nimehitimu chuo mwaka huu; mtaji wa Tsh. 500,000 naweza kufanya biashara gani?

    Kwa mtaji wa laki tano unaweza ukanunua mahindi vijijin mwez watano msimu wa mavuno debe Ef 6 ad ef 7 ,gunia la debe kumi hua haizid 60k kwa bei ya Iringa mwez wa tano. ko unaweza jumua gunia 4 kwa 240k. Saga uza unga mjini. kila debe litakupo zaid ya 20k
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mwanza biashara unaweza kufanya kwa mtaji wa Tsh 500,000/=

    Kwa mtaji wa laki tano unaweza ukanunua mahindi vijijin mwez watano msimu wa mavuno debe Ef 6 ad ef 7 ,gunia la debe kumi hua haizid 60k kwa bei ya Iringa mwez wa tano. ko unaweza jumua gunia 4 kwa 240k. Saga uza unga mjini. kila debe litakupo zaid ya 20k
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nimehitimu chuo mwaka huu; mtaji wa Tsh. 500,000 naweza kufanya biashara gani?

    Viatu vya mtumba kwa Morogoro vinalipa sana Pair moja nachagua kwa 3000 Sokoni nauza kwa 5000 Faida per pair ni 2000 Kwa siku unaeza uza hadi 30 hadi 40 prs Faida per inafika hadi 100k + biashara siku hiyo ikiwa vizur na ikiwa vibaya faida haishuki chini ya 50k
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nifanye biashara gani na mtaji wa laki tano?

    Biashara ya kuuza matunda kwa wafanya kazi wa ofisi za uma. 1. Matunda mchanganyiko - 150,000/- 2. Package (100pcs)-10,000/- 3. Vifaa vya kandalia - 30,000/- 4. Simu ndogo ya button@1 50,000/- 5. Sare1@ 25,000/- 6. Vikapu ya kusambazia 5@ 20,000
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kama una Mtaji Njoo ufungue Gym Mkata Wilaya ya Handeni

    Mkata kwenye maji ya shida ata kama una hela ukitoka gym na hiyo mijasho sijui utafanyaje
  11. M

    JamiiForums Tanzania Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

    Kweli kabisa mkuu apo ume Nena 🔥🔥🔥🔥
Back
Top Bottom