Recent content by Maggie_999

  1. M

    Ukiitwa interview Utumishi na umepoteza original ya cheti kimoja unapaswa kufanyaje?

    Habari wadau, nilikuwa nahitaji kufahamu.. Ikiwa umeitwa kwenye interview ya written Utumishi, na cheti cha kuzaliwa kimepotea ila una copy yake iliyokua certified na mwanasheria. Je, napaswa nifanye nini?
Back
Top Bottom