Ujue me c'on cha ajabu hapoi! Kwan kabla ya kupewa uongoz huo zito alikuwa nani???
Kama mnakumbuka vizur alikuwa mwanachama wa kawaida kabixaaaa! Xaxa kwann leo ionekane ajabu kuludi kule alikotoka!??? Embu fikilieni kwanza!
Can uwakika ila nilishawai kuskia kuwa huyo jamaa amemaliza 4m 4 then akawa mwalim wa primary ndy akachaguliw kuwa mkuu wa mkoa had xaxa kawa mbunge had now ni wazir......... me cpo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.