Recent content by MagembeJr3

  1. MagembeJr3

    JamiiForums Tanzania Tunanunua mayai ya kisasa

    Naona watu wengi mnashindwa kuelewa hii baiashara ilivyo. Unapofuga kuku wachache wamayai definetly lazima tray lako utauza kwabei kubwa lakn unapokua na kuku wengi wamayai (vice versa is true) Kwasasa soko lamayai kwa bei ya jumla linaanzia 6500 - 6800 (nenda shekilango soko lamayai ukajionee)...
  2. MagembeJr3

    JamiiForums Tanzania Tunanunua mayai ya kisasa

    Nauza jumla sio rejareja..
  3. MagembeJr3

    JamiiForums Tanzania Tunanunua mayai ya kisasa

    Natafuta mfugaji wa kuku wa mayai ya kisasa mwenye uwezo wakunisambazia Tray 100 kila baada yasiku 2. Tutaingia mkataba/makubaliano kati yetu nayeye, hivyo kwayeyote mwenye uhitaj wa biashara anakaribishwa. Tutanunua Tray kwa 6500 Tsh. Contact: +255 712 312 330 (WhatsApp, Calls and Sms)...
Back
Top Bottom