Tatizo liko wapi mkuu?! Haya mawazo/maoni yangu, wao wanatikisikaje kwa hili?! Kuomba kutoka ni haki yangu pia, silazimishwi kufanana kifikra na mods, na silazimishwi kuwa member wa jamii forums
Mimi siogopi na huu mtandao wanauita wa jamii, watuache wanajamii tushiriki tutakavyo, wao wamekuwa kama polisi na ccm, basi wanifunge kifungo cha maisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.