Recent content by madele

  1. M

    Hotuba ya Freeman Mbowe kwenye Msiba wa Sabodo imefichua mengi ambayo tulifichwa

    Boss kila mwaka wa uchaguzi huwa mnasema hayo hayo,insanity is keeping doing the same way your expecting different results.
  2. M

    Nape: Rais Samia alinikataza kujibizana na Watu Mitandaoni

    Mjukuu wa Nyerere? Utakuwa huna taarifa sahishi kuhusu Yerico Nyerere.Hata hivyo kama mwanachama wa CDM ni haki yake kikatiba kugombea nafasi yoyote ndani ya Chama chake, sisi tusiyo na Vyama tutaendelea kuwa wapenzi watazamaji.
  3. M

    Ukweli usemwe hata kama unauma, Upinzani wa Tanzania unanitia mashaka

    Hadi wewe leo umeenda kinyume na msimamo wa Chama chako.
  4. M

    Tundu Lissu vs Zitto Kabwe - nani ana uwezo wa kiuongozi?

    Mimi ndiyo kiongozi mzuri sana kuzidi hao.
  5. M

    Dkt. Mwigulu: Nilimwambia Shemeji yangu Lema asiwe na wasiwasi atarudi nyumbani na kweli amerudi. Nchi ina tatizo la Umaskini, Ajira na Maadili hasi!

    Kuhusu upambanaji wa wachaga hilo halina ubishi jamaa ni wachakarikaji haswa they deserve what they are lakini hayo mengine namuachia yeye.
  6. M

    Miradi mingi ya Hayati Magufuli ya kutoa fedha taslimu ni 'White Elephant'

    Mkuu sijui kama umefanya critical analysis kabla ya kuandika, nianze na daraja la busisi hivi unaijua adha wanayokumbana nayo wasafiri kusubiri kivuko ? Wasafiri wanalazimika kusubiri kivuko kwa wastani wa saa 1 had 1.5 wakisubiri hapo naongelea mchana wakati wa usiku ndiyo majanga. Meli ya MV...
  7. M

    Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

    Kwakweli mahudhurio hayakuwa mazuri licha ya propaganda zinazofanywa kuwaaminisha watu kwamba kulikuwa na nyomi ila kiukwelo hamna kitu pale.
  8. M

    Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

    Na wewe leo unamsema hivi Mwenyekiti wako? Au siyo wewe?
  9. M

    Watu walidhani leo Chadema wataongelea kupanda kwa gharama za Maisha !?

    Hakika imeandikwa na kila mmoja abebe mzigo wake.
  10. M

    Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

    Umejitahidi kuipiga picha kiufundi sana.
  11. M

    Mwanza: Yaliyojiri Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA baada ya kuondolewa zuio la mikutano

    Kwakweli hapo siyo furahisha najaribu kuangalia rockcity moil siioni, najaribu kuangalia barabara ya kwenda kirumba siioni.
  12. M

    Gazeti la Uhuru: Rais Samia hana wazo la kugombea Urais 2025

    Kweli SAMIA anaendelea kuwa Rais wetu mpendwa, tena vyama vya upinzani visijisumbuwe kusimamisha wagombea ngazi yoyote maana vitakuwa vinajisumbua. Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
  13. M

    Kumbe mfumuko wa bei siyo kitu kibaya

    Nimesoma andiko lako kwa umakini mimi ambaye sina basics za uchumi, nahitimisha kwa kusema kwamba mfumuko unafaida kwa wafanyabiashara na wazalishaji lakini una atahari kubwa kwa walaji wa chini. Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
  14. M

    Rais Samia: Nimeona Afisa Afya Tunduru akipita nyumba kwa nyumba kuchanja, suala hili lisifanyike kwa mabavu

    Punguza hasira mkuu akija, wewe mjibu kisitaarabu kwamba huchanji.
Back
Top Bottom